| Nilipotembelea ziwa Victoria nikiwa nchini Uganda katika ziara ya kimasomo katika eneo la Entebe. |
| Nikiwa katika kitanda changu katika shule ya msingi Happy Hours nchini Uganda. |
| Katika picha ya pamoja na wanafunzi wezangu wa kozi ya Uhusiano wa Kimataifa katika chuo kikuu cha Dodoma. |
| Udom chamber tukiwa katika ukumbi wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. |
| Udom chamber tukitembelea shule ya Secondary Viwandani kutoa huduma ya msaada wa vifaa vya Usafi. |
| Udom Chamber tukiwa katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum mkoani Dodoma Miyuji{Life of goo Hope}kutoa msaada. |
| Ally na Mr.Ssematimba mwalimu wangu katika somo la kijamii{Social study) |
| Katika mahafali ya kidato cha sita katika shule ya Swilla Secondary mkoani Mbeya. |
| Ally na Lucas Gugai rafiki yangu katika shule ya Aggrey Mbeya. |
| Katika picha ya pamoja ya Viongozi O'level na A'level katika shule ya Makongo Secondary 2007 katika utawala wa Hawa Pondomo{Prime Minister}. |
| Katika picha ya pamoja katika shule ya MakongoSecondary tukiwa watu tulio aminiwa na wanafunzi wenzetu kuwa tumikia 2007. |
| Katika shule ya Thaqalain seminari tukiwa na mmiliki wa shule Mzee Ngon'ga bure{marehemu}. |
| Katika picha ya pamoja Ally na Mh.Benarld Membe waziri wa mambo ya nje katika kiwanja cha Bunge la Jamuhuri la Muungano wa Tanzania. |
| Tukiwa na Mheshimiwa Lukuvu katika Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. |
| Group members 2010-2013 katika Chuo Kikuu Cha Dodoma. |





