Nini maana ya Tarab? Wapi asili yake? Je kwa Afrika Mashariki unaelewa nini kuhusu tarab? Je unawajua wa asisi wake?Nyimbo zipi ambazo atakesho ukizisikiliza basi utaona ni kama za jana.(OLD IS GOLD) je hii kweli kuwa tayari kufuatilia uchambuzi huu cha msingi (LIKE 50) zinahitajika tuweza kukupa utamu huu wa burudani kinaga ubaga.





